The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Tumefungwa na nan?mbona Utopox hamtulii.Bora bonanza wanashirik Yanga iko open, ila simba mnajificha fichaaa mnapigwa goli 6-2 mnagugumia kimya kimya!! 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumefungwa na nan?mbona Utopox hamtulii.Bora bonanza wanashirik Yanga iko open, ila simba mnajificha fichaaa mnapigwa goli 6-2 mnagugumia kimya kimya!! 😂😂
Haaa yamekua hayo tenaaMechi yetu hiii!!! Pumbavuuuu😂
Yaani daah.Mzize anaendeleza ubutu wake alipoishia
Nitakupasua!Haaa yamekua hayo tenaa
Hawawezi elewa UtopoxNiwakumbushe tu kuwa hiki ni kikosi B cha augsburg...kina Mbuku,titzie,komur,okugawa,cardona na petkov wanawasubiri
Tunaomba linkwadauGreatest Of All Time naomba link
Ukiipata nitagNaombeni link
Daah, leo hadi kona zinatolewa taarifa!Haya wale mnaosema hatuna kona. Hii ni nini.
Baada ya dk 90 nipo kwa ajili ya kukufariji mremboHaya wale mnaosema hatuna kona. Hii ni nini.