YaanSijui Gamondi anampendeaga nini Mauya?
Kwani dakika ya ngapi?Dakika 90 itakuwa 2-2 , yanga anapita kwa penati
Hivi hamjui kilichotuponza ni dharauHii mechi tunalala. Hakuna maajabu hapa.
Hawa APR ni wazembe, walitakiwa kujipigia haya majitu ya hovyo
Hamisi Naanguka si yupo πππWachezaji walompita kushoto GAMOND
KONKON
SURE BOY
Eeee Mungu wasaidie Yanga washinde [emoji2356][emoji2356][emoji2356]
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app