Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Nadhani mmekipata mlichokua mnakitafuta...Shindwaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani mmekipata mlichokua mnakitafuta...Shindwaaaa
Hata sisi hatulitakiii
Jana nimelia sana hadi nikacheka 🤣😁😁 mtani wanguVipi rafiki umeshanyamaza???
Tulitoa droo nao mkaona timu ya kitoto eee
Hatari watu walikuwa wanapepea tuu kuelekea goliniSikuwepo rafiki yaniii...ndo nashangaa hapa nini mmefanya Gongowazi jamani..
Ni George Marato(Kutoka hapa Sirariiii ni Geeeeorge Maratooooo ITVIIIIIIIIIIIII, Maraaaaaaaa......)Ni mimi John Maratu Itvvvvvvvv
😂😂Teh teh teh teh 😂😂😂😂 Kiko wapi Sasa......
Nakala iwafikie Carleen Shadeeya Nifah ukikaidi utapigwa2 zipompa Tate Mkuu Evelyn Salt .....
View attachment 2865027
😔🤭
Jana watu wanatiririka tuu😔🤭
C'ssy kila nikitazama huo ubao natamani niwe na magic wand niubadili ili hizo 3 ndiyo ziwe zetu, acha tu..!!
Usijali mdogo wangu na hili pia litapita. 😔😔🤭
C'ssy kila nikitazama huo ubao natamani niwe na magic wand niubadili ili hizo 3 ndiyo ziwe zetu, acha tu..!!
PoleYanga mmechana mkeka [emoji25] nahama timu
Kwani hata akianzisha saa 2 kuna shida gani. Kwani kuna sheria imevunjwa.Hata kama ni ushabiki ila hii sasa imezidi aiseee, niliwahi kusema humu kwa huu utoto wa kuanzisha hizi thread za match ni bora tu mods wakwa wanaanzisha wao hizi nyuzi.
🤣😁😔🤭
C'ssy kila nikitazama huo ubao natamani niwe na magic wand niubadili ili hizo 3 ndiyo ziwe zetu, acha tu..!!
Kwani kina kubabage hawachezi? Kwani kina mauya, ngushi nao wanajaribiwa?Nzengeli umemuona kwenye first eleven? Mbona umeishia kutaja hao wawili tu vipi ndio wameishia au kuna wengine?
Lete mrejesho.Hii APR ndio ile waliyoisumbua simba? Mpaka simba wakaweka full squad isitoshe mpaka wakamuita onana ambaye alikuwa hayupo substitution lakini waka suluhu.
Leo wanacheza na yanga B tena wamefungwa na moloko!!
Umemuona Kibabage kwenye kikosi? Lini Mauya kawa mchezaji wa first eleven?Kwani kina kubabage hawachezi? Kwani kina mauya, ngushi nao wanajaribiwa?
Ukipigwa kubali umezidiwa sababu hao ndio uliowaamini.
Visingizio vya first eleven, wasipata game time,sijui under 20 ni utoto.
Kingepangwa kile kikosi kilichokubamiza magoli matano, wangepigwa wiki hao.Kwani kina kubabage hawachezi? Kwani kina mauya, ngushi nao wanajaribiwa?
Ukipigwa kubali umezidiwa sababu hao ndio uliowaamini.
Visingizio vya first eleven, wasipata game time,sijui under 20 ni utoto.
Sikuona utopolo wakitafuta goli. Ilikuwa vyura wanaruka ruka tu uwanjani.Kwani yanga huwa wanatafutaje goal? Acha ubwege na kudhalilisha wachezaji wetu. Wamefungwa ni matokeo ya mpira we kilaza. Kama hawakuwa wakitafuta goal walishindaje la kwanza na ilikuaje walikuwa wanaenda kushambulia?
Hebu rudia tena maneno yako hayo leo!Mechi ya yanga hata kama siyo shabiki raha sana kuangalia,