Pale hakuna wachezaji, wameacha wachezaji wote dar eti wanakwenda kufanya majaribio chekechea. Huyo kocha hazijui hizo timu, hakuna muda wa kutengeneza watoto wanachotaka ni ushindi. Hilo litakuja kumrudi baadaye jinsi wanavyorushiwa maneno na wapinzani. Na hizi timu zikianza kufungwa huwa ni nuksi hivyo aanze kufungwa mizigoMakosa wakifanya wachezaji utamlaumu kocha ?
Hata aje pep guardiola au mokwena wa mamelodi au Thomas tuchel wa Bayern matokeo yatakuwa hayo hayo uwezo wa Baadhi ya wachezaji ni Mdogo .
YANGA tumejitoa kwa style hiyo, wala hatukua serious na hayo mashindano.Pale hakuna wachezaji, wameacha wachezaji wote dar eti wanakwenda kufanya majaribio chekechea. Huyo kocha hazijui hizo timu, hakuna muda wa kutengeneza watoto wanachotaka ni ushindi. Hilo litakuja kumrudi baadaye jinsi wanavyorushiwa maneno na wapinzani. Na hizi timu zikianza kufungwa huwa ni nuksi hivyo aanze kufungwa mizigo
Nabi alitolewa Mapinduzi vipi alifukuzwa?Pale hakuna wachezaji, wameacha wachezaji wote dar eti wanakwenda kufanya majaribio chekechea. Huyo kocha hazijui hizo timu, hakuna muda wa kutengeneza watoto wanachotaka ni ushindi. Hilo litakuja kumrudi baadaye jinsi wanavyorushiwa maneno na wapinzani. Na hizi timu zikianza kufungwa huwa ni nuksi hivyo aanze kufungwa mizigo
Hakuna lolote mmezidiwa kiwango na APR ninyi mnacheza soka la mdomoniYANGA tumejitoa kwa style hiyo, wala hatukua serious na hayo mashindano.
Hii ni kuepuka majeruhi ambayo yanaweza kuigharimu timu kwenye michuano rasmi ya pesa ndefu na sifa yenye kuleta raha.
Kazi kwenu SIMBA maana mpo serious na haya mashindano mpaka Baleke anacheza? Sijui na Bocco?.
Natanguliza uzalendo wa tija
Mkuu ningekujibu ila nathamini uhusiano wa mashindano na Mapinduzi ya Zanzibar ambayo kwa sasa ni Tanzania.Hakuna lolote mmezidiwa kiwango na APR ninyi mnacheza soka la mdomoni
Soka hilo hilo la mdomoni ndio iliyoifunga Simba goli tano, Azam kapigwa kwenye ligi. APR wanakikosi gani kizuri kinachoweza kuizidi Simba na Azam? Hao wote walipigwa na Yanga ilipopanga kikosi kamili. Unakuja ku hoji bila kutumia akili kuna wachezaji wangapi wa first eleven waliopangwa zaidi ya Lomalisa na Mzize tu mle. Weka msimamo wa ligi hapa tuone timu inayocheza soka la mdomoni ina point ngapi na yupo nafasi ya ngapi?Hakuna lolote mmezidiwa kiwango na APR ninyi mnacheza soka la mdomoni
Hayo ni yenu.kwani sio wachezaji wenu,au nani aliwalazimisha muwasijili,au mliwasajili ili iweje?.Kuongoza msimamo haimaanishi huwezi kufungwa.Tunachoangalia ni timu kufungwa hayo mengine ni stori zakujifariji.Soka hilo hilo la mdomoni ndio iliyoifunga Simba goli tano, Azam kapigwa kwenye ligi. APR wanakikosi gani kizuri kinachoweza kuizidi Simba na Azam? Hao wote walipigwa na Yanga ilipopanga kikosi kamili. Unakuja ku hoji bila kutumia akili kuna wachezaji wangapi wa first eleven waliopangwa zaidi ya Lomalisa na Mzize tu mle. Weka msimamo wa ligi hapa tuone timu inayocheza soka la mdomoni ina point ngapi na yupo nafasi ya ngapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Full time
2 -2
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo yeye huyo.Huyu Mzize naye msikia hapa ndio huyu ambaye watu walikuwa wanamlaumu kocha kwanini hajaitwa timu ya Taifa?
Kwann lakini, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimefurahi mara 100 kufungwa na hawa
Kuliko tungeenda kufungwa na Makoloo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora tumefungwa na hawa, kwa kikosi hiki tungekutana na makolo wangerudisha zile 5
HahahaMi nawaombea Yanga wafungweeee[emoji28]
Yani mkifungwa ndio mnachukia mashindano?
Ndio. Bingwa mteteziHivi Mlandege ndio anaecheza na Simba final?
Mlandege huyo figizu zake Si mnazijua alichomfanya APR alafu anakutana na Simba wamekutana figizu kwa figizu Ila Mlandege yupo kwao kule kwa hio uzani umelalia kule Mlandege bingwa tena, marefa washaamua nje ya mchezoNdio. Bingwa mtetezi