Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Utazani jamaa wamepaka mkongo [emoji1787]Huu moto anaopelekews uto ni hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utazani jamaa wamepaka mkongo [emoji1787]Huu moto anaopelekews uto ni hatari
Yametimia...😀😀😀Utoporooo mnapigwa si chini ya goli mbili leo....😀😀😀
Yanga ni Kikosi C? Nitajie 11 ambao hawapoAcha uRage Simba alifungwa APR wapi!?
Simba alitoa sare ya bila bila...
Yanga ni Kikosi C ndicho kinafungwa na APR.
9Bado dakika Moja.
Au siyo?Namuona kitasa chetu hamis nanguka
Yanga 3
APR 1
Kwa tatizo gani hadi ziongweze 9?Dakika 9? Huu ni uongo
Basi tuseme wakitoka sare, ila Yanga kapigwa 😂😂Waliwafunga lini? Acha kuongea uongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]I told u.
Cha 3
Mbona kama umechanganyikiwa !? Pole sana vyuma vi3 vimekuvurugaDaaaaaaaah...... Hersi alifanya dharau. Tulimwambia kamalize hii match mapema. Anasema APR wachovu tu. Kesho tutakuwa na hard time. Ni kudharau mambo ndo tatizo hii game angemaliza nje ya uwanja.
but hamna shida kesho mikia nao wanapigwa.
[emoji38]Nyie Uto msiojua kirefu cha APR
[emoji1427][emoji1427][emoji1427][emoji1427][emoji1427][emoji1427][emoji1427][emoji1427]
Armee Patriotique Rwandaise