uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Ilikuwa saa 5asubuhi.Dear Utopox.
You are journey ended here.
Amen!
Sorry for this.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa saa 5asubuhi.Dear Utopox.
You are journey ended here.
Amen!
Sorry for this.
Na kila mchezaji anafunga, nukta.bado na imani na team yangu, Yanga tuna kikosi kipana bila kupinga
Mwana yanga mwenzangu hiki kikosi C kilitokea wapi? Maana sasa tusiwe kama Vilaza au Mapoyoyo.Acha uRage Simba alifungwa APR wapi!?
Simba alitoa sare ya bila bila...
Yanga ni Kikosi C ndicho kinafungwa na APR.
Kocha wa viungo ni yule kipenzi cha fans wa simba yule mkimniza upepo amewakimniza wachezaji wa APR wanatoka jasho balaa hata mpira haujaanza,yule wa enzi za kishingoHawa wajinga pia beki ipo poa na vimo vinawasaisia
Yanga sisi andunje weng
Walipigwa ngapi?
Ni kweli wameongeza dakika nyingi sana. Siku ile Novemba 5 tulipocheza nao hawakuongeza hizi kwani tungechomoa na ubao ungesoma 5 kwa 5.Robo saa nzimaaa???
Jamani hizi sheria za wapi hizi?
🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁Shikeni huyu asikimbie
Labda ashinde njaaDakika 9 za nyongeza hii mpya ya kufungulia Mwaka. Yote hii yanatengenezwa mazingira Yanga ishinde
Huyu jamaa alikuwa powa sanaKocha wa viungo ni yule kipenzi cha fans wa simba yule mkimniza upepo amewakimniza wachezaji wa APR wanatoka jasho balaa hata mpira haujaanza,yule wa enzi za kishingo View attachment 2865020
Simba 1 Yanga 5 je Yanga tulipaka Mkongo?Utazani jamaa wamepaka mkongo [emoji1787]
Ila wewe[emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nikachekee chooni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]