FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

Hii Topolo mafanya nini hapa naaibisha mama
 
watapigwa tena 2 -0 nyumbani
 
Usafi vyooni unawashinda mabomba wataweza?
Hawataki kutoa hela wanadharau kazi za watu wakiambiwa watoe hela kampuni ya usafi ifanye wanaona wanaibiwa wanaita watu mtaani wafanye usafi kazi tunayo kweli kweli...
 
Huyu Funguo [emoji360] Nadhani sasa mmeanza kuelewa uchezaji wake tulivyokuwa tunawambia, ndo maana akianza kwenye kikosi au akianzia benchi wala hamshangai.
Kwanini wapi nilipoonesha kuwa nimeahangaa Dickson Job kuwa benchi? Kwenye mpira wa miguu lazima kuwepo na wachezaji watakaokuja kubadili mchezo au kuumaliza mchezo kimbinu. Sio kila mchezaji anayekuwa benchi ni kwasababu ya ubovu. Na ndio maana makocha wanapoona mambo hayaendi sawa hufanya sub
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…