Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Uto wana mdomo thana kila lakheri monasterie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ni mambo ya Simba, nyie Utopolo haya mambo kwenu ni magumu, jikiteni na ligi za bongo tuMakolo mambo ya nchi muwaachie wananchi
Sasa jiulize nani ana mdomo na kihelehele kati ya mikia na Yanga. Huu Uzi mmekimbilia kuuanzisha nyie kama wenu. Tatizo jana mmekimenya kitimu kutoka ligi mbovu Guinea. Basi mmekuwa kama machiz sasa mnarukia rukia tu chochote. Mna mioyo miepesiUto wana mdomo thana kila lakheri monasterie
Niitwe Sheikh nimekaa pale😆Yanga 2 - 1 Monastir
Yaani leo Uto mshinde hii game hata bao moja na msilazimishe kutafuta mabao mengi hapana kwani mutawafanya wachezaji kuwa na pressure muhimu ni point tu vinginevyo mtasumbuka sana.Watu wa Simba mmeipania mechi ya leo mtazani yenu mpaka uzi mmefungua nyinyi, ukirudi huku kwenye inbox msg kibao za wana Simba. Yaani leo kwenye vijiwe mpaka mabenchi mmeyatoa nyinyi.
Ila leo tukiharibu hii wiki ijayo itakuwa ndefu sana kwetu, mnakamia mpaka mechi za wenzenu.
[emoji4]CCM ndiyo kinachokulea,njoo nikupe kadi ya UVCCM,usiwe kama mpwayungu village