FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

Yanga hawana mpira wa kuvutia yofauti na ladha ya Simba wakiw uwanjani.

Kinachowasaidia hawa ndugu zetu ni midochi + kukimbia kimbia bila malengo.
hahahaha unajipa moyo

hadi wachambuzi wanakwambia simha anashinda kwa mpira mbovu ila yanga anashinda kwa vyote mpira na magoli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…