FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

Ukinuna pasuka hiyo ligi ya LOOOSERS we Utopolo
Na hilo jina la looser limetoka huko kwa Yanga leo, wanakataa aisee yule aliyesema wenye akili Yanga ni wawili tu utafiti wake ninaona kama ulikua sahihi kabisa!
 
Yanga ushindi ni lazima Mambo ni πŸ”₯ mpaka Sasa tu m.5 ya mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…