zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
huna mpira wa kuvutia huu ndo ukweliHiyo michambuzi iloshiba magodoro?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huna mpira wa kuvutia huu ndo ukweliHiyo michambuzi iloshiba magodoro?
Mie mpole siku zote mbona ..Yaani umekuwa mpole
Mnooo yaniii udammbwi dambwi mwingiC unaona lakini? Zile finya finya za chama.. Zimbwe jr.. Inonga mzee wa chejo yaan unaenjoy football
Mwezi wa nne siyo mbaliC unaona lakini? Zile finya finya za chama.. Zimbwe jr.. Inonga mzee wa chejo yaan unaenjoy football
Ndugu kwani una mimba?Yanga timu dhoofu sana aisee
Kumbe ndio maana utopolo alijipigia tu kama ngoma. Kumbe ni waimba mziki wa goma huko waliokimbia M23Tp Mazembe ni kikundi cha wahuni, kilichojiunga kwenye mchezo wa Soka.
Aah wapii wadanganye wasiokujua sio mimiMie mpole siku zote mbona ..
WW nenda page ya Caf uone mnyama anavyoshaiiniii...pira kama biriani...Chama anakupa ladha ya ki Messi messihuna mpira wa kuvutia huu ndo ukweli
Ewaaaa.... Kama pale goli la waz alilokosa Mayele angekuw CHAMA pale angewagalagaza watu pale na hivi panatelezaMnooo yaniii udammbwi dambwi mwingi
Na hilo jina la looser limetoka huko kwa Yanga leo, wanakataa aisee yule aliyesema wenye akili Yanga ni wawili tu utafiti wake ninaona kama ulikua sahihi kabisa!Ukinuna pasuka hiyo ligi ya LOOOSERS we Utopolo
Hakuna mpira hapo mkuu. Mmekutana losers mnatunishiana misuli na mpira wa hovyo kabisa unachezwaHuu wa Leo ndio mpira Sasa,japo mvua imeharibu ,ila wanaume wanakaza kiume
Unampangia baba mwenye nyumba muda wa kurudi nyumbani,aingie na atoke saa ngap I!!?Yani mpk mmuingize kimoja ndo mjee...
Kama kaukalia tukusaidie nini, Nyie si ndio mashabiki wa Monastir? Mlitegemea yanga hii ipoteze mechi kiboya,,imekula kwenuMazembe huko tayari kaukaliaView attachment 2558345
Jamani maisha yanabadirika na watu wanabadirika.. mie wa jana sio wa leo.. mtu asie badirika ni marehemu tu 😅😅Aah wapii wadanganye wasiokujua sio mimi