Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OKW BOBAN SUNZU Hana noma na mtu,Kuna watu nashindwa kabisa kuwaelewa, hivi ni kipi kinakufanya umshambulie OKW BOBAN SUNZU , jamaa anajitahidi kutoa live updates halafu yupo very positive kwa timu yako. Mnaweza mkataniana kama ilivyo jadi lakini siyo kwa namna hii.
Tuko na leo tuliza kibompoli☺️!Muda kama huu jana chama ana hat Trick [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Nakuvua nishai.Warembo wote ni Yanga mkuu😀😀
Maneno ya mkosaji
Mbona makasiriko,si kasema ukweliManeno ya mkosaji
Sisi ndio yangaaaa🤸🤸🤸🤸🤸🤸Nipishe huko
Tuko na leo tuliza kibompoli[emoji3526]!
Wewe qqquma nenda kapigwe miti hukoBoya kabisa kachambe uko ndio urudi wakati huo goli 2 tiyali kambani
Unajua uungwana ni ku declare interest! Hakupaswa kuanzisha huu uzi! Yeye ni mnazi wa simba.Kuna watu nashindwa kabisa kuwaelewa, hivi ni kipi kinakufanya umshambulie OKW BOBAN SUNZU , jamaa anajitahidi kutoa live updates halafu yupo very positive kwa timu yako. Mnaweza mkataniana kama ilivyo jadi lakini siyo kwa namna hii.
Wala sihitaji kuwa mrembo wala mzuri nitoe nishani zote, Yanga raha, simba wa kufugwa nyie hamtutishi😀Nakuvua nishai.
Wewe utabaki daraja la Uzuri. Ila Urembo hujaufikia. Ukitaka nikupandishe daraja, hamia unyamani mtoto mzuri.
Sisi ndio yangaaaa[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Mwache aisome nambamazembe kaongezwa huko
Hongereni watani wa jadi. Matokeo yakibaki hivi hadi mwisho,Tayari mmeshatinga robo fainali. TP Mazembe kashapigwa goli mbili huko.Nasemajeeeeee,,,,tunaongoza kundi[emoji23][emoji23]