Bado Tusubiri kwanzayanga kafuzu tayariiiii hahhaahhaah nacheka sanaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado Tusubiri kwanzayanga kafuzu tayariiiii hahhaahhaah nacheka sanaaaaaa
Ili nigundue nini mxxxxxxxiieewww!! pepo trokkkaaaa 👈Ukipata bwana wa simba utahamia simba ni swala la muda tu
Kuwa mnazi na timu fulani haizuii kuanzisha uzi wa mechi ya timu nyingineUnajua uungwana ni ku declare interest! Hakupaswa kuanzisha huu uzi! Yeye ni mnazi wa simba.
Nawe ni yanga eeeIli nigundue nini mxxxxxxxiieewww!! pepo trokkkaaaa 👈
Ili nigundue nini mxxxxxxxiieewww!! pepo trokkkaaaa [emoji118]
Tutaongoza Kwa muda mpaka mechi za mwishoni,tukimfunga TP Mazembe na Monastir akishinda magoli machache kuliko sisi hapo sawaHongereni watani wa jadi. Matokeo yakibaki hivi hadi mwisho,Tayari mmeshatinga robo fainali. TP Mazembe kashapigwa goli mbili huko.
Pole tate na utapona kabisa vijana wako vizuriHatimaye malaria iliyokuwa inanisumbua kuanzia jana, imekata ghafla!
I love Yanga!! 💛💚
💪💪💪💪💪💪👌Nije au
Dk bado zinatosha sana kwa USM kufanya lolote67' Yanga 2-0 USM
Daima mbele [emoji169] [emoji172][emoji123]
Kwenye issue kama hii, hiyo si sawa. Hii ni vita na unawaachia wenyewe. Huo ndiyo ukomavu!Kuwa mnazi na timu fulani haizuii kuanzisha uzi wa mechi ya timu nyingine
Watu wanaanzisha nyuzi kwasababu wanapenda mpira
Nakukumbusha tena, Yanga wakifunga andika 5,000,000 tutakuelewa67' Yanga 2-0 USM