Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Yaan hawa waarabu kwao kule ni kama NAMUNGO. au Polisi TanzaniaWaarabu hawa washalogwa wamekua mdembendembe...yani hii yanga nzitoo mnashindwa kuwapiga hata bao 5 kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan hawa waarabu kwao kule ni kama NAMUNGO. au Polisi TanzaniaWaarabu hawa washalogwa wamekua mdembendembe...yani hii yanga nzitoo mnashindwa kuwapiga hata bao 5 kweli?
Kwamba Yanga tunacheza kwenye kiwanja kikavu au?Yani mnabahati na hii mvua leo mngepigwaaaaaaa
Alikufa 7 akiwa mbovu zaidi ya Zalan, halafu hujatuambia ilikuwa ni hatua gani ya makundi au preliminary roundHayo hayanihusu Chief. Mimi ninachojua, alikula saba!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mazembe wamefikia kubaya daahAs it stands.....
View attachment 2558435
We we ..tuliaa..89' Yanga 2-0 USM
Simba wana roho mbaya hawa, ila ndiyo tushafungaHuu sasa ni ubinafsi wa hali ya juu,hata kuanzisha tu mada unamkasirikia muanzishaji kisa ni Simba fan? Take it easy maisha hayapo serious kiasi hicho
Mvua imenyesha upande wa mwarabu peke yake?Yani mnabahati na hii mvua leo mngepigwaaaaaaa
Kibichi nyie si vyura?😆Kwamba Yanga tunacheza kwenye kiwanja kikavu au?
Hongera bibieSimba wana roho mbaya hawa, ila ndiyo tushafunga
Aisee huku juu kuna baridi sana. Wananchi wote wavae makoti mazito!As it stands.....
View attachment 2558435