FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

Amna mtu wa kuwaambia to mazembe na mwenzake wakae tu wapige story amna haja ya kukimbizana
 
Hapana, Mkuu, hii si mara ya kwanza kwa OKW BOBAN SUNZU kuanzisha nyuzi Yanga inapocheza.
KWa muda mrefu Yanga wamekua wazito sana kuanzisha nyuzi pia wepesi kuzikimbia, hivyo waanzishaji wakubwa wa nyuzi zao inapochezesha huwa ni washabiki wa Simba hawahawa akina OKW BOBAN SUNZU , Scars na wengineo na ndiyo huwa muda mwingi wanakuwepo kuzisindikiza na kuzichangamsha nyuzi za Yanga.
I don’t concur with this my dear! Uungwana unaacha wenye harusi waendelee. Kuna Mwana Yanga amemiss opportunity kwa huyu jamaa kuanzisha huu uzi wakati hii si harusi yake
 
Habari ya 7 juu itaendelea kuwa kileleni kwa muongo mmoja...mjue ile ni ligi ya mabingwa
 
Back
Top Bottom