Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usije lialia humu na mkaanza kutukana wachezaji wenu,hamchelewiPira halina vibe...ni kukamia tuuu hakuna udambwi dambi
Mtaisubiri sana rafiki safr hii mtasubiri sanaa hahaha
Mnakimbia kimbia tuu hapo uwanjani pira mguu wa roho ukiwapima.wachezaji presha iko juu...liwe bovu ila la jana hahahahahha ni uharoooo
Tushazoea ushindi na tuna iamini timu yetu,haina haja ya kuota moto katikati ya uwanja wala kurudisha basi kinyumenyume,tunajua tunacho kifanya uwanjani.Yanga hawana VIBE
Ww ulibeti weweEeeehh Jamanii ... 💯🔥🔥🔥🔥🥂🥂🍻🍺🍻🔥🔥
Ahsante MUNGU..
Alafu mwishowe wanaondoka na ushindi.Yaan yanachojua ni kujioverwork kama wanacheza rugby
😀😀😀 ahsante kwa kulitambua hilo mapemaSawa Boss endelea kusherehekea usipite na mimi bure
Inategemea pia unaongoza kundi ukiwa Losers Cup or Champions LeagueHuku juu, baridi ni kali mno wakuu!
Kama timu yako haiongozi kundi, tafuta mtu mwingine ujadili nae mpira. Sio mimi!View attachment 2558446
ujaona visiginoHakuna zile pasi Kofi.. (Outer pass) hakuna pira kuzungurukiwa kwa juu.. Hakuna TECHNICAL TACKLES kama za Inonga.
Hakuna Penetration skills and dribbling skills kama za Chama hakuna zile stop stop.. Finya punguza chapa kibao.
YAAH NA WEWE KWA MUJIBU WA LUC EYMAEL NI MBWA.Kwa mujibu wa Rage, wewe ni mbumbu.
Hahaha mkuu relaaax...hapa utakutana na comment usizozipenda ww soma tuu.. tunakerana tuuUshindi mwembaba wa Goli mbili Bila?
Kweli wewe sio mshabiki wa mpira, Labda huwa unafuatilia mpira wa mikono (handball)
champions UKO na vipers na horoya hahahahaInategemea pia unaongoza kundi ukiwa Losers Cup or Champions League
Hatuja ziona na Raja hizo,japo mmepita ila Morocco zile mlizowapiga wenzenu mnapigwa nyinyi.Hakuna zile pasi Kofi.. (Outer pass) hakuna pira kuzungurukiwa kwa juu.. Hakuna TECHNICAL TACKLES kama za Inonga.
Hakuna Penetration skills and dribbling skills kama za Chama hakuna zile stop stop.. Finya punguza chapa kibao.
Ni mpira Sio rede kama ya JanaHakuna hatrick huu ni upupu
Unaumia ukiwa wapi bwana mbumbumbu, yanga kacheza na wanaume na katoa onyo, sasa anaongoza kundi, bila kusahau uyu ni mwarabu sio horoyaUtopolo Wameongoza Kila Kitu kwenye Statistics hadi yellow cards..!