FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

Kweliiiiiii
 
Ndiyo kichaka kilichobaki na nacho ipo siku tutakichoma
 
Now u're talking.Heshimu sana CL ni mashindano ya walio bora tu barani Africa.
USikhofu,na ichonkichaka Cha CL tutakichoma muda si mrefu na hivi uzuri hamna kombe lolote huko pasi shega tu

Hamuamini macho yenuui,aahahaaaj
 
Hili kombe mnaliponda ila ndio liloitoa thamani yenu kutokana na kupania kwenu mpaka mkaamua kulidhalilisha taifa kwa kuota moto katikati ya uwanja,tena kwenye nchi ya watu ujasiri huu ni waajabu haijawahi kutokea timu yoyote kufanya kama mlivyofanya nyinyi,kufanya ushirikina kama mlio ufanya nyinyi South Africa.

Mmewatia hasara wenzenu kukarabati pichi yao upya,chaki za kati zikabadilika na kuwa nyeusi.
 
USikhofu,na ichonkichaka Cha CL tutakichoma muda si mrefu na hivi uzuri hamna kombe lolote huko pasi shega tu

Hamuamini macho yenuui,aahahaaaj
Yani tutoe kipigo cha mbwa mwizi jana kwenye CL,tubebe 35M kwa mara moja.Nyinyi leo ndiyo mmefikisha hizo 35M baada ya papatu papatu za hapa na pale halafu useme tunawaonea wivu.Uto kuweni basi serious [emoji3]
 
Hilo mnalo miaka sasa sisi tunayeya tuu...nyie wanga wa sirini ni wa viwango vya sgr mpk mkamatwe ni mpk tutumie mbinu za kivita..ila mmetuzidi uchawi..
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
✌️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…