FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

Ninachofurahi hizi thread zinaanzishwa na makolo wenyewe kwa mbwembwe nyingi ili ushahidi ubaki milele na milele kwamba hawa jamaa wengi ni vichwa panzi wakikesha kuitakia mabaya club bora Africa Mashariki na hapo ndio ukuu wa Mungu unajidhihirisha kwa Yanga kuzidi kufanya vizuri.

Mgumba kashika mimba siku ya jana mimate mtaa mzima.

Daima Mbele Yanga Africa
 
Simba tulishacheza kwenye mvua hakuna kughairisha mechi hapa
US MONASTIR DAMU[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…