FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

Hivi hizo jezi za yanga hapo nyuma juu ya majina ya mchezaji wamefuta niniπŸ€”
 
Mnasemaga hivi hivi halafu mkipigwa mnapotea kwenye uzi
Mbona unataka uwapangie watu muda wa kuja Jukwaani na kuondoka? Hapa mechi ikianza hutaniona maana naangalia mechi live kiwanjani........yaani niache kuangalia mechi niwe busy na Simu?
 
[emoji41]
Screenshot_20230212-212320.jpg


Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Ila mashabiki wa Yanga huwa ni waoga sana aiseeh, wamejificha kama panya kabaki shabiki mmoja tu hapa[emoji1].
 
Back
Top Bottom