Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
πππππππͺ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ana maoni.Hii ni Fallacy...........
Mnasemaga hivi hivi halafu mkipigwa mnapotea kwenye uziDaima mbele nyuma mwiko πππͺ
Mbona unataka uwapangie watu muda wa kuja Jukwaani na kuondoka? Hapa mechi ikianza hutaniona maana naangalia mechi live kiwanjani........yaani niache kuangalia mechi niwe busy na Simu?Mnasemaga hivi hivi halafu mkipigwa mnapotea kwenye uzi
Unazikumbuka zile tambo zenu kipindi anasajiliwa?[emoji23]Unajua maana ya team?
Ungekuwepo uwanjani ungeona uwanja ulivyo,ila staki unnecessary argumentJamaa ana maoni.
Rejea ile idadi ya mashabiki waliohudhuria game kati ya Simba Sc na Red Arrows, licha ya mvua kunyesha.
Unnecessary arguments ni zile ulizokuwa unabwata jana wakati wa game ya jana.Ungekuwepo uwanjani ungeona uwanja ulivyo,ila staki unnecessary argument
Umejiandaaje na kichapo?Naaaaaaaaam
Sisi ni Yanga damu
[emoji172][emoji169]
Lazima akimbie na kichupi mkononi leo.Tunatest mitambo.... Hawa Monastir wameingia uchi geto la ngariba
yule walipigwa hana msaada ni mzigo tu.Naona chezaji lenu la gharama limeanzi benchi[emoji1]