FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

Wananchiiiiiiiiiìiiiiiiiiii
Usiku wa deni haukawii kukuchwa. Leo ndiyo ile siku tuliyoisubiri kwa hamu kwa Yanga kukata tiketi ya kutinga robo fainali ya michuano ya CAFCC.

Saa moja jioni mbivu na mbichi kujulikana. Tupo hapa kuisubiri saa 1 jioni ili tumalizane.
Mimi na wenzangu tupo hapa kukupa updates kinachojiri kabla, wakati na baada ya mechi. Usiondoke.

View attachment 2558326
Kikosi cha Yanga

Mchezo umeanza licha ya mvua kubwa kinyesha Dar es Salaam
2' Mayele anapiga shuti kali nje ya 18 kipa anapangua
5' Yanga wanatawala mchezo
10' Presha ni kubwa kwa wageni
16' Djuma Shaban anapiga shuti kali nje ya 18 kipa anapangua inakuwa Kona
19' Yanga wanapata Kona nyingine
20' Monastir wanajaribu kujipanga lakini presha inakuwa kubwa kwao
Maskini mtani wangu leo kinyonge mno.. Tumuombee tuu maana anaweza kujinyonga [emoji23]
 
Back
Top Bottom