FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

utakuwa na mzio/aleji ya kupenda vitu vizuri yanga mbovu horoya na vipers unawaweka wapi
Vipers walikufua 2 Zero hapo kwa mkapa na bado ikaitoa Mazembe ambaye ataenda kufifisha ndoto zako za kutinga Robo pale Kinshasa baada ya leo kufurumushwa 3-1 na mwarabu
 
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiu
[emoji172][emoji169][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom