Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
MAZEMBE KASHACHEZEA HUKO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamefanyaje?Mazembe mambwa sana haya. Kumbe ndio maana Utopolo iliwashindilia za kutosha. Yani leo mpaka kipofu anaona mwezi huko Bumaco
Vipi uwanja wenyewe unachezeka au ndo hivyo hivyo tu
💪💪💪👽👽👽👽👽I love you too[emoji8]
Asante Kwa kuwa mzalendo45'.Yanga wanatandaza mpira
Kapigwa na timu mbovu kabisa Bamaco. Kumbe ndio maana kipofu aliona mwezi pale kwa Mkapa akamshindilia tatu nungewamefanyaje?
Umeanza linii huu uzalendo [emoji23][emoji23] tunaendelea tulipoishiaUwe mzalendo basi mkuu.. Simba ikisonga na Yanga ikisonga ni fahari kwa nchi
Hizo ni shida zakoKapigwa na timu mbovu kabisa Bamaco. Kumbe ndio maana kipofu aliona mwezi pale kwa Mkapa akamshindilia tatu nunge
Akuna aliyekuuliza, wenye timu yao awana wasi wasi na ushindi, sherehe sio yako kihere here cha nini?HT' Yanga 1-0 USM
Yanga wameuchukua mchezo
Mimi siangalii game mkuuGame ya jana sikuangalia mkuu
Ilikua hiv hiv?
Ligi ya LOOSERS hiyo weweHizo ni shida zako
Loosers ndio nn ewe mbumbumbu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kweli hii ni ligi ya LOOSERS [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa. Viranga komo rafiki. 🤣🤣☺️☺️☺️☺️☺️☺️☺️☺️☺️☺️😄
🐸🐸Wananchi tunapata kimoko paleeeeeeeee ooooooo
Wanajitahidi sana. Tuwaombee wapate goli lingine wajihakikishie ushindi mnono.HT' Yanga 1-0 USM
Yanga wameuchukua mchezo
Mods wangeziunganisha, sijui hata wako wapi leo Maxence Melo