Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Real Bamako twende kaziMazembe huko tayari kaukaliaView attachment 2558345
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Real Bamako twende kaziMazembe huko tayari kaukaliaView attachment 2558345
Ukinuna pasuka hiyo ligi ya LOOOSERS we UtopoloLoosers ndio nn ewe mbumbumbu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Rudi shule tahira wewe
Unasahau mpira ni dakika 90Kapigwa na timu mbovu kabisa Bamaco. Kumbe ndio maana kipofu aliona mwezi pale kwa Mkapa akamshindilia tatu nunge
[emoji23][emoji23] Hatujakataa kama hivi mkifunga mnaonekana sanaa ngoja sasa goal lirudishwe mnapotea wote
Siwezi kumkubali as general (we both know that)Taratibu unaanza kumkubali
Hii ligi ya walioshindwa hakuna timu humoUnasahau mpira ni dakika 90
Kapambana sana kuitoka ile defense line ya MonastirNajiuliza kapitaje pale
Acha wauane huko hukoView attachment 2558339
MAZEMBE KASHACHEZEA HUKO
Hao Tp Mazembe mnaweza mkachukua point zote 6Real Bamako twende kazi
Haitasaidia Mazembe kawa lizembeNaona Comeback ya Monastir inakuja hapa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
🤣🤣🤣ngoja waoshe mkuu.Kapigwa na timu mbovu kabisa Bamaco. Kumbe ndio maana kipofu aliona mwezi pale kwa Mkapa akamshindilia tatu nunge
Ya looser uliyowahi kuWIN mara ngapi?Ukinuna pasuka hiyo ligi ya LOOOSERS we Utopolo
Mchawi sio lazima aroge rafiki Washendweeeee👌🗣️Hahahaaa. Viranga komo rafiki. 🤣🤣
Walivyokuwa wanashadadia tufungwe mpaka sasa wameanza kurudi nyuma huku wakiombea likombolewe. 🤣🤣🤣
Kufa mbwa mwenzako😅🤣🤣Mazembe mambwa sana haya. Kumbe ndio maana Utopolo iliwashindilia za kutosha. Yani leo mpaka kipofu anaona mwezi huko Bumaco
Ikiwa hivyo itakuwa poa sanaHao Tp Mazembe mnaweza mkachukua point zote 6