FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,169
- 13,455
Sasa ndio unalia mkuu. Sikukulazimisha kushabikia timu mbovu. LOOOOOSERS leagueUtahira unakusumbua na mihafarati wahediiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndio unalia mkuu. Sikukulazimisha kushabikia timu mbovu. LOOOOOSERS leagueUtahira unakusumbua na mihafarati wahediiiii
Hahahaaa. Na walegee juu rafiki. 🤣Mchawi sio lazima aroge rafiki Washendweeeee👌🗣️
Tulia bado mechi mbichi haijaivaaKama kaukalia tukusaidie nini, Nyie si ndio mashabiki wa Monastir? Mlitegemea yanga hii ipoteze mechi kiboya,,imekula kwenu
Kwamba mvua ina wa-affect nyie tu, monastir wao Bata au kambale ?Kama sio mvua, saa hz Yanga 4 - 0 Monastir
Nakwambiaje hayo maneno waambie wasiokujua [emoji23]Jamani maisha yanabadirika na watu wanabadirika.. mie wa jana sio wa leo.. mtu asie badirika ni marehemu tu [emoji28][emoji28]
Kama walivyokamatwa wale wazee wa kurudi kinyume nyumeBado nina hang over ya goli 7 aiseee...
Nasikia Yang'aaa wamekamatwa wanawanga leo hapo kwa mkapa
Mechi haijaisha uwe na akiba ya maneno, goli lenye moja risk kibao muda wowote tunaweza kuongea vinginevyoKama kaukalia tukusaidie nini, Nyie si ndio mashabiki wa Monastir? Mlitegemea yanga hii ipoteze mechi kiboya,,imekula kwenu
Hii mimba yangu haitaondoa kwamba mko ligi wa waliofeli. Kishuleshule inaitwa second selection!!Ndugu kwani una mimba?
Nyie ni walozi wa level ya kimataifaKama walivyokamatwa wale wazee wa kurudi kinyume nyume
Shangaa wewe mkuu. Leo tukisema wanakunja sura teh teh tehNa hilo jina la looser limetoka huko kwa Yanga leo, wanakataa aisee yule aliyesema wenye akili Yanga ni wawili tu utafiti wake ninaona kama ulikua sahihi kabisa!
dah! Mechi ikiisha agiza chochote kwanza 😊😊😊Nakwambiaje hayo maneno waambie wasiokujua [emoji23]
Ni kweli mkuu mi yanga hapa nilipo nimezibana mbupu mpaka Mpira uishe maana hiki kigoli kimoja Wala hakina guarantee.chaweza chomolewa sekunde yote ileeMechi haijaisha uwe na akiba ya maneno, goli lenye moja risk kibao muda wowote tunaweza kuongea vinginevyo