financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Yule kipa akikuskia maskini ataliaa😀😀😀Ni mpira Sio rede kama ya Jana
Kipa hata panzi hawezi kudaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule kipa akikuskia maskini ataliaa😀😀😀Ni mpira Sio rede kama ya Jana
Kipa hata panzi hawezi kudaka
Mwezi wa nane tunachoma kile kichaka cha CL mnachotambia utafikiri mmeshawahi kombe lolote la maana..kwa mara ya kwanza toka uzaliwe umeishuhudia Utopolo ndani ya robo fainali ya CAFCC.
Umepata cha kuwasimulia wajukuu
Awap nasikia mmeanza kusema hamchezi netballNaiona Week nyingine hii😀😀 7
Haha haaaaaYule kipa akikuskia maskini ataliaa😀😀😀
Acha wimbo wetu kila kitu manaiga khaaa 😆 😆 😆Hawaamini macho yaooooo
Tushafuzu,who caresJamaa wa Yanga alisema "uwanja atakaocheza simba, yanga akicheza atashinda"
1. Yanga ameshinda mechi ngapi za away?
2. Simba ameshinda mechi ngapi za away?
3. Mlishindwaje kuifunga bamako na monastir kwao?
Utakuja shangaa T.P mazembe mnaotoka nao droo kwao.
Mpk sasa tuna timu mbili zimeingia robo fainali. Nasema uongo ndugu zangu?Ungekuwa huna wivu na Yanga usingekuwa hapa
Ndicho ulichobaki nachoAcha wimbo wetu kila kitu manaiga khaaa 😆 😆 😆
Hivi vitimu vya shirikisho vinatafuta kiki kwa mabingwa ili vijulikane lakini wapi!
Ikawaje?Utakuwa hukuangalia game ya Tunisia wewe.
Hawa chura walirukaruka hivi hivi, ila kilichowakuta wanajua.
Tushazitoa na hizo nambo alituazima kaiza chiefYanga anashinda leo.
Ila tunahofia zile tunguli za jana hatuna uhakina kama walirogwa Horoya pekeyao, zisije kutudhuru sisi wananchi.
Mje muondoe vitu vyenu hapa kwa Mkapa. Wananchi tunataka kuutumia ule wembe tulioutumia kwa Zalan.
Hahaha mkuu leo utalala umechoka sanaa...ila mtani huna baya..Ndicho ulichobaki nacho
Uwanja anaocheza simba. Msije mkahama ndiyo itakuwa mwisho wenu.Tushafuzu,who cares
😂😂😂🤣🤣😂😂🤣🤣🤣Njaa Ya Magoli Baada Ya Mpira Kwisha Ama SijakuelewaMpira umechezwa haswa na kikosi bado kikaendelea kuonyesha njaa ya magoli angali bado ilikua inaongoza kwa magoli.
Ndo malengo yaooooo🤣🤣🤣Jamani wana utoooooooo
Muwe na usiku mwema japo presha yenu ko juu kwa sbb hamjafikia malengo ya kufunga 8 😆 😆 😆 😆 😆
Kwani ww una points? Baada ya kushinda ugegenini na mimi nina ngapi.Jamaa wa Yanga alisema "uwanja atakaocheza simba, yanga akicheza atashinda"
1. Yanga ameshinda mechi ngapi za away?
2. Simba ameshinda mechi ngapi za away?
3. Mlishindwaje kuifunga bamako na monastir kwao?
Utakuja shangaa T.P mazembe mnaotoka nao droo kwao.
Sijapanik mtani umeniita kenge na ww chura naona ww ndo umekuja kwa panic..huu ni mchezo hauitaji hasira..jana walitunanga humuu na sisi leo zamu yetu..Mbona una panic sana