John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Au sio 😀Uto wana mdomo thana kila lakheri monasterie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sio 😀Uto wana mdomo thana kila lakheri monasterie
zimbwe aliye achwa timu ya taifa amaVisigino mnakita chini kama makhirkhiri..
Angalia misigino ya Zimbwe Jr sigino linapigwa hewani.
Kabisaaa ila kwa mbindeeeYanga ikifika fainali sitashangaa
Kweli sisi ni mpira wa miguu siyo kama netball ya jana😀😀 ndiyo maana haijafika weekAwap nasikia mmeanza kusema hamchezi netball
Dada una wivu wwHili La Leo ndio Pira Baya Papatu Papatu katika raundi Ya tano CAF Confederation kuliko yote Yaliyochezwa..!
Hili ndo La Nzize..!
Waarabu wanaiogopa sana Yanga sa iviPyramid vs yanga kazi ipo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Toka uzaliwe leo umeishuhudia Utopolo ndani ya robo fainali....una bahati sana aiseeeMwezi wa nane tunachoma kile kichaka cha CL mnachotambia utafikiri mmeshawahi kombe lolote la maana
We're ni mjinga sana na I'd yakoNasikia UTO wamegoma kwenda uwanjani.... Ngoja tuone itakavyo kuwa...
Unaumia na matokeo ukiwa wapi mkuu😄Yani Sijui akili za mashabiki wa Yanga zipoje Sasa makolo wamefanya nini yani pasipo kuitaja simba mnakuwa yatima naona.
Kichaka cha CL tunakichoma motooToka uzaliwe leo umeishuhudia Utopolo ndani ya robo fainali....una bahati sana aiseee
NakaziaMpira umechezwa haswa na kikosi bado kikaendelea kuonyesha njaa ya magoli angali bado ilikua inaongoza kwa magoli.
Unaumia na matokeo ukiwa wapi 😁matusi yanini sasa,utani wa jadi sio matusi.
ImenyeshaMvua imefanyaje
Unaumia na matokeo ukiwa wapiHivi vitimu vya shirikisho vinatafuta kiki kwa mabingwa ili vijulikane lakini wapi!
Europa itabaki Europa tu na UEFA itabaki kwa mabingwa.
Nyie utopolo acheni kuendekeza utopolo
Huyo anajichosha sana kinyesi fc kwa kuandika majina hayashtui hahahahRobo fainali klabu bingwa afrika
Unaumia na matokeo ukiwa wapi 😁😂😂😂🤣🤣😂😂🤣🤣🤣Njaa Ya Magoli Baada Ya Mpira Kwisha Ama Sijakuelewa