Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Acha Ramli wewe...Kibabage alikuwa amengoja zibaki sekunde kadhaa anyamazishe vinywa vya MAKOLO kama naona walivyoumia.
Jamus waliidharau ile mechi. Mlikamia sana leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha Ramli wewe...Kibabage alikuwa amengoja zibaki sekunde kadhaa anyamazishe vinywa vya MAKOLO kama naona walivyoumia.
Hata Mimi mwananchi nimepigwa butwaa sembuse mikiakuna watu wamepigwa butwaa!!!
Wasudan waligoma kupokea bahasha.Mbona dakika zinayoyoma mkuu hizo tano zitapatikana kweli!!
Wazee wa duwah mbaya...Ngoja tusubiri kesho tuone kama SFG watafanya kweli. Maana uwezo wanao! Na tayari wameshafuzu hatua ya robo fainali.
TV aina ya Panasonic toleo la 1982 kwanini lile goli usione kama ni offside?
Kwa lipi?Hongera sana Yanga
Simba mshaanza malalamikoMpira haujasimama kivile kiasi Cha kuongeza dk 7! Ndio maana hakuna hata mmoja atakayechezesha AFCON!!
Yanga kwao kila kitu ni dhahabu.Kwa lipi?
[emoji851][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii inaitwa baba ubaya kafanya ubaya tena na leo lazima mioyo iwaume.Acha Ramli wewe...
Jamus waliidharau ile mechi. Mlikamia sana leo.
Hiyo ilikuwa ni mbinu aliyopewa na gamondjKibabage alikuwa amengoja zibaki sekunde kadhaa anyamazishe vinywa vya MAKOLO kama naona walivyoumia.
Ilipochukua Simba lile kombe unakumbuka mlisema kombe la Bonanza??[emoji851][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii inaitwa baba ubaya kafanya ubaya tena na leo lazima mioyo iwaume.
Kwahiyo tukishinda tulie?Ilipochukua Simba lile kombe unakumbuka mlisema kombe la Bonanza??
Leo kwa udi na uvumba mnatafuta ushindi na mkiupata mnasheherekea kama vile mmewafunga Mamelodi.
[emoji851]Gooooooool
Jamus wanachomoa hapa ubao unakuwa 2-2
wewe wa wapi....Kwahiyo tukishinda tulie?
Kweli rage hakukosea
Endelea kujichetua mfyuuu!Kwa lipi?