Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
HaisaidiiNaitwa Dotto kutoka Nyakanazi. Naitakia Yanga ushindi wa goli moja. Ujumbe; Michezo inaleta furaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaisaidiiNaitwa Dotto kutoka Nyakanazi. Naitakia Yanga ushindi wa goli moja. Ujumbe; Michezo inaleta furaha.
Hovyo sana mkuu, ila ndo hivyo tu tunaishi nae kwa sababu ya historiaKuna mwamba mmoja siku ya mechi ya ufunguzi wa AFL alisema
"Kocha anatuletea utani, unamtoaje Kibu afu unamuwekaje Onana?"
"Jina la Onana lina gundu jamani ina maana hata Ulaya huko haoni wakina Onana wanavyofanya?"
Nusu iwe goli Diara kacheza konaSidibe mbaya kwa faulo hapo
Hahahahahhahahahhahhh! bange sio chai.Goooool, gooooooal, gooooooool, goooooooooaaaaaaaaal, gooooooooooooooooooooo
Nyavu za nje , goal kickKona tena Azam wanapiga
Yap. Ila uzuri wake ni kukaa na mpira. Mengine ni 50-50Huyu mzize ndiye ategemewe kuifungua ngome ya wachezaji wa Ahly kwenye zile ndoto zenu za kuwapiga nje ndani.?
Moja kati ya udhaifu wa Mzize ni offside zisizo na maana.
Sio poaGoooool, gooooooal, gooooooool, goooooooooaaaaaaaaal, gooooooooooooooooooooo
Ile siku Azam media walitumia rasilimali zao zote kujikosha maana wao ndio walikuwa wazalishaji wakuu wa matangazo, sasa hapa wamfurahishe nani.?Wakuu mbona leo muonekano wa picha hauvutii kama ule wa AFL