Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Likely 1.6. Nahisi tu lakini 😁😁🏃🏿♂️Mkuu ngoja mech iishe salama,atatuelezea mpaka GPA yake
Uzito kwa kuna minzani uwanjaniKama ni mahaba asingeruhusu goli la 3. Maana kuna foul pale imechezwa japo haijarudiwa tuone uzito wake.
JiamininiTunaogopa presha za kujitakia mtani 😅😅😅😅😅
Wasiishie kulia wanye kabisa.Mashabiki wa Simba wamevaa jezi ya Azam wanalia ha haaaa
Kiko wapi nyie mwalimu wa maishaTunaogopa presha za kujitakia mtani 😅😅😅😅😅
Tunasubir filimbi mkuuWatu mbona hampo hapa au tayari mmeshakimbilia kwa mhasibu wetu wa taifa? [emoji16]
Kafunga la 4 auMaxxxxxxxx
Mhasibu leo atatueleza vizuri.Watu mbona hampo hapa au tayari mmeshakimbilia kwa mhasibu wetu wa taifa? [emoji16]
Akijibu niite 🐕Kafunga la 4 au
Bora likae gunia kuliko yule.Yule golini ni kolokoloni !!?
Rudi kilingeni braza. Mpira watu wanakufaga kwa presha ohoo!
Vua shanga hizo zitakatika upate haibu.Nilitaka kushangaa, Azam ashinde.?
Mzee umeandika kama vile huna pumbu..
Kuna jamaa alisema hata wakipaki Abood mbili na Kimbinyiko moja pale golini kama kipa ni yule kufungwa kuko pale pale tu 😁Bora likae gunia kuliko yule.