dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Kijan wa hovyo San yule kuwahi kutokeaPopoma kama popoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijan wa hovyo San yule kuwahi kutokeaPopoma kama popoma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora likae gunia kuliko yule.
Watu washampandia muda sanaMhasibu leo atatueleza vizuri.
Hata sasa nenda kaEnjoy safi tu.Mechi ikiisha Azam akishinda nita enjoy Makala za Zakazakazi
Shikamoo DrMavi matupu, Mhasibu wa kozi ya Nabe.
Huyo wa mwisho hapo kama Mwamedi, au ndio yeye?
Kabisa kaka, makosa niliyoyaona hafai kudakia timu kubwa yenye kushindania makombe.. tayari aliwagharimu pakubwa kwenye shirikishoKuna jamaa alisema hata wakipaki Abood mbili na Kimbinyiko moja pale golini kama kipa ni yule kufungwa kuko pale pale tu 😁
Ndiyo Wenger wenu Uto
Hivi haiwezekani akawaomba mods wakaufuta ule uzi maana duh!Watu washampandia muda sana
Bila shaka Ghaaarib humjuiHuyo wa mwisho hapo kama Mwamedi, au ndio yeye?
Mtu anaparimia comment yangu na kauli ambazo hazina mantiki yoyote, sikuwa nimemtag wa kutukana yoyote, kwanini aje na maneno ya kijinga.?Umepanik braza
faulo ilizimwa maana ilianza chezewa upande wa yanga, ya pili haikuwa faulo ilikuwa tackling murua kabisaKama ni mahaba asingeruhusu goli la 3. Maana kuna foul pale imechezwa japo haijarudiwa tuone uzito wake.
Ai lavu yuWashenzi walitupania hawq