dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Uzuri wewe tabili zako ni hovyoNdio maana yake, wakipata chance moja tu kitu kinazama
Dada yangu tuliaaaa hii game mungu anaenda kutusaidia hiiMapigo yangu ya moyo siyaelewi!
Tumbo limechafuka niombeeniπ₯Ί
Inatakiwa twende mapumziko tukiwa tunaongoza ili biashara iende vizuriTukifanikiwa kuwazuia kwenye kaunta,mechi tunashinda hii.
Sema nini mwananguMechi inaendelea mkuu π€£π€£π€£
Mpaka sasa Yanga analinda vizuri tofauti na ile game ya awali.Unatazamaje mpira? Unakumbuka mechi ya kwanza mlichezaje na matokeo yalikuwaje?
Naunga mkono hojaKama Makolo yalikaza mwishowe wakapigwa Mkono basi naamini hata hawa wanaweza kukuza ila mwisho wa picha wakapigika vilevile.
Sisi ni vijukuu vya Mtume!πππDada yangu tuliaaaa hii game mungu anaenda kutusaidia hii
Hamna mkuu mbwembwe tu, Yanga wanajitahidi sanaSema nini mwanangu
Unajiamini sanaππ
Hii sio mechi ya ushindi ni kufuzu.Kama Makolo yalikaza mwishowe wakapigwa Mkono basi naamini hata hawa wanaweza kukuza ila mwisho wa picha wakapigika vilevile.
Muhimu ushindi tu Leo ,kisha tukamchape Al Ahlu kwao Ngoma imeisha.Hii sio mechi ya ushindi ni kufuzu.
Mi nataka nione hizo 5 leo
Inaonekana una uzoefu mzuri wa kuolewa.Hili ni pira Kujichosha.....CRB wanawasubiria mmalize kupaparika Wawaoe
Jamaniii poleee, hebu relaax bhana muda bado upoo.Mapigo yangu ya moyo siyaelewi!
Tumbo limechafuka nahitaji maombi yenuu[emoji3064]