Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnawajuaa waarabu lakini? Nyie mtaita maji mma.
Tunajua. Uto atafungwa na kibonde au kumfunga kibondeBaadae nisisikie Belouizdad ni kibonde [emoji2957]
Ohoo thank you mkuu, mbona hukuniambia mapema hadi nafika 3rd floor😪, ningekua Mrs Uran now(joke)😀Aisee.
anyway sikuwezi kukutakia mema, japo nakupenda sana
Shauri yake. 😂😂Naona amefunga kitunguu kichwani!!
😂😂 acha tuishi humo humo tu sasa.Majini yanafanya kazi, Mayele kaumia Dakika ya 8 tu.
Arudi tu kuja kuomba msamaha Uto wasiendelee kumloga
😂😂😂😂 acha tuishi humo humo tu sasa.
Na bado mpaka aseme. 😂😂
Waiter niongeze kirobaGoooooooooooal....
Mazembe Keshaua mtu huku
Hata mie ni mzee wa zamani nisiyependa kuachwa na vituko vya wahuni 😂Anawakilisha wazee wazamani wasiotaka kuachwa nyuma. 😂
Nikupatie k-vant au nyagi ? 😂Waiter niongeze kiroba
Joel Beya dakika ya 32 kapiga chuma kizito chenye ncha kali.Goooooooooooal....
Mazembe Keshaua mtu huku
Huwa hakuna haraka kwenye hayo mambo ujue.Ohoo thank you mkuu, mbona hukuniambia mapema hadi nafika 3rd floor😪, ningekua Mrs Uran now(joke)😀
Amechoka sana.Joel Beya dakika ya 32 kapiga chuma kizito chenye ncha kali.
Tatizo Mayele keshatupiwa majini angeshaweka kitu nyavuni
Majini yana wivu sana ukiyaachaAmechoka sana.
Mwiko nyumaDaima mbele