Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Mwananchi hutakiwi kushangilia mpaka atakapofunga Dube
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu na penalty aachane nazoAzizi Ki anapiga penalt dk 35 anakosa.
Halafu baadaye wakikaa vijiweni wanaanza kubeza utaskia "timu yenyewe kila siku inafunga magoli ya penati"Azizi Ki anapiga penalt dk 35 anakosa.
Haikuwa y mchongo ila Azam tv ndio wamekuwa wa mchongo. Kibwana alisukumwa kwa nyuma ila wao kwenye replay yao wanaanzia kuonesha tu Kibwana akidondoka badala ya kurudisha nyuma zaidi tukio.Penati ya Mchongo 🤣🤣🤣🤣.
Amekosaaa
Kwa hali hii unaweza ukajikuta hushangilii mechi tano mfululizoMwananchi hutakiwi kushangilia mpaka atakapofunga Dube
Hujui kama ligi ni marathon?Utopolo wapo serious utadhani wakishinda wanenda robo
Halafu ndo Unahitaji ushindi mpigaji ndo huyoHuyu na penalty aachane nazo
Kifo cha umbwa huanza kwa kupoteza uwezo wa kunusaAziz hajui kupiga penalt
sema penati za yanga huwa ni za ziada baada ya kuwa tayari na ushindi sio za nyau huwa ni za ushindi na hupewa kwa kubebwaHalafu baadaye wakikaa vijiweni wanaanza kubeza utaskia "timu yenyewe kila siku inafunga magoli ya penati"
Wanaongea as if penalti ni simple kufunga wakati mchezaji wao hii penati ya 3 anakosa.
Ungekua hauna njaa usingeshinikiza niweke vocha hapa unataka kuponea hapomkuu sina njaa ya 50, ili kuondoa majigambo ya kihaya weka vocha hapa tushuhudie umeweka mzg sio hayo maigizo
Kama wa kesho tu pale uwanja wa ALLY HASAAN MWINYI Tabora.Refa wa bahasha huyu hakiyanani
azam ni ngumu ndo maana tumeomba kama kuna njia nyingine, otp unangoja dakika 20Tumia Azam max
Basi sawa, ila uta hawa hawa.Haikuwa y mchongo ila Azam tv ndio wamekuwa wa mchongo. Kibwana alisukumwa kwa nyuma ila wao kwenye replay yao wanaanzia kuonesha tu Kibwana akidondoka badala ya kurudisha nyuma zaidi tukio.
niwe na njaa unaniona online 24/7 nna njaa kubwa kubwa sio ya elfu 50Ungekua hauna njaa usingeshinikiza niweke vocha hapa unataka kuponea hapo
Kwamba unamaanisha Yanga ingefungwa goli zaidi ya zile 5 alizofungwa Simba na Al Ahly?Basi sawa, ila uta hawa hawa.
Ndio wangeenda kucheza na Al Ahly, Olando, Pyramid au FAR?
aisee tungeaibika sana kama nchi