Wanapata za halali ata wakikosa sio za mchongo za kwenuYanga wanawasema simba kwa kufunga magoli ya penati kumbe wao wanazipata penati ila wanazikosa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapata za halali ata wakikosa sio za mchongo za kwenuYanga wanawasema simba kwa kufunga magoli ya penati kumbe wao wanazipata penati ila wanazikosa
Ngap ngapNatazama hapa Soweto Derby ambapo Orlando Pirates Vs Kaizer Chiefs, uwanja wa FNB (zamani Soccer City) umetapika kwelikweli na sold out ya tiketi ilikuwa wiki moja kabla ya mchezo!! Levels
Musonda ni wa kuuza msimu ukiisha.Mzunguko wa pili wa ligi kuu Tanzania bara unarejea tena je Yanga ataendeleza ubabe mbele ya Kagera sugar!
View attachment 3220543
NB: Mimi sio mwana_utopolo.lolote baya liwapate.View attachment 3221177
30' Orlando 0-0 KaizerNgap ngap
Hata Makolo walikamiwa wakagongwa hamsaUtopolo wanakamia timu ndogo
Kwanini umepumzika kweye soka?Japo nimepumzika kweye soka,
Sikubaliani kabisa na Kocha wa Yanga.
Hawezi fikisha pasaka huyu.
Au Iddi
Mkuu hii ni habari ingine,asante sana yaani clear vibaya mnoIngia kupitia google search fawanews. Usiambie watu maana wengine mnaendaga kujitapa kabisa kwenye page za Azam.
andika zako nakupa 20Njoo nikutumie buku mbili ila sharti andika namba zako 6 za simu hapa alafu malizia 4 zilizobaki Pm
kabisa mkuuWametoka kwenye mashindano ambayo huwezi kuhonga wamerudi kwenye ligi yao ya kutembeza bahasha
azam ni ngumu ndo maana tumeomba kama kuna njia nyingine, otp unangoja dakika 20
Hiyo uhakika kaka. Kuna wale ndugu zetu wengine wanakuaga hawana vifua utakua anaenda kupiga mayowe kwenye kurasa Azam. Huwa wanatuharibia sana.Mkuu hii ni habari ingine,asante sana yaani clear vibaya mno
Andika zako nakupa 50andika zako nakupa 20
weka zako naongeza 10 iwe 60Andika zako nakupa 50
Yanga sio Makolo wa kushinda kwa penalty na kuzidisha dakika
Teh teh teh teh 😃 😃 😃 hasira za kutolewa hatua ya makundi hazijaisha...... haaaaaaaaa haaaaaa🤣🤣Japo nimepumzika kweye soka,
Sikubaliani kabisa na Kocha wa Yanga.
Hawezi fikisha pasaka huyu.
Au Iddi