Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Uko online masaa 24 unatumia WiFi ya ofisiniwe na njaa unaniona online 24/7 nna njaa kubwa kubwa sio ya elfu 50
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko online masaa 24 unatumia WiFi ya ofisiniwe na njaa unaniona online 24/7 nna njaa kubwa kubwa sio ya elfu 50
Ile mliyopewa ni nini?Yanga sio Makolo wa kushinda kwa penalty na kuzidisha dakika
👆🏼👆🏼👆🏼Leo kutakuwa na penati
Penati yenu na Tabora ilikuwaje?sema penati za yanga huwa ni za ziada baada ya kuwa tayari na ushindi sio za nyau huwa ni za ushindi na hupewa kwa kubebwa
Kawaida yake hiyo tangu zamaniKifo cha umbwa huanza kwa kupoteza uwezo wa kunusa
hahahhaa andaa hela izo, yanga anaongoza hapaUko online masaa 24 unatumia WiFi ya ofisi
Yanga wanawasema simba kwa kufunga magoli ya penati kumbe wao wanazipata penati ila wanazikosaMwananchi hutakiwi kushangilia mpaka atakapofunga Dube
Sijui lengo la Azam Tv lilikuwa kuwaaminisha nini watazamaji? Kwamba Yanga wamepata penati ya utata?Haikuwa y mchongo ila Azam tv ndio wamekuwa wa mchongo. Kibwana alisukumwa kwa nyuma ila wao kwenye replay yao wanaanzia kuonesha tu Kibwana akidondoka badala ya kurudisha nyuma zaidi tukio.
Sema ile waliyokosa ni niniIle mliyopewa ni nini?
Njoo nikutumie buku mbili ila sharti andika namba zako 6 za simu hapa alafu malizia 4 zilizobaki Pmhahahhaa andaa hela izo, yanga anaongoza hapa
Ingia kupitia google search fawanews. Usiambie watu maana wengine mnaendaga kujitapa kabisa kwenye page za Azam.azam ni ngumu ndo maana tumeomba kama kuna njia nyingine, otp unangoja dakika 20
We umehongwa bei gani?Wametoka kwenye mashindano ambayo huwezi kuhonga wamerudi kwenye ligi yao ya kutembeza bahasha
Kama imeenda mpaka imekuwa kwake ni kawaida, kwanini anapewa yeye nafasi ya kupiga penalt?Kawaida yake hiyo tangu zamani