Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Mechi za yanga zimepoteza mvuto hapa bandani tupo watatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmecheka sanaHicho kikosi kilichokua sub kinatisha kwelikweli
Boresha banda lako liwe na viti vizuri sio unawakalisha watu kwenye mabench kama kanisaniMechi za yanga zimepoteza mvuto hapa bandani tupo watatu
🤣Tutashinda Goli nyingi
Hata hapa Bar tuko 6Mechi za yanga zimepoteza mvuto hapa bandani tupo watatu
timu imepoteza mvuto angalia hata uwanjani watu wachacheBoresha banda lako liwe na viti vizuri sio unawakalisha watu kwenye mabench kama kanisani
Wateja wamehamia kwangu
Saizi mtakuwa mmebaki wawili maana namimi nimeamua tu bora nisepe.Mechi za yanga zimepoteza mvuto hapa bandani tupo watatu
ko bahasha ni ya suluhu sioBahasha mumpe mwingine kipenga unipe mimi??
Sio Fairko bahasha ni ya suluhu sio
Yanga inatakiwa imzuie Bacca asiwe anafunga maana akifunga tu, Yanga HAWAWEZI kufunga tena! Ahahahahaha!!🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Young Africans SC🆚Pamba Jiji FC
📆 03.10.2024
🏟 Azam Complex
🕖 6:30PM(EAT)
View attachment 3113734
Kikosi kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji FC
View attachment 3114306
Mpira umeanza
Dakika ya 5
Goal Baccaaaaaaaaaaa
Dakika 7
Tunashambulia kwa kasi
Dakika ya 12
Yanga SC wanapata Kona
Dakika ya 14
Tunapata Kona tena
Dakika ya 18
Boca anaoneshwa kadi ya njani Aziz k anapiga Free Kick
Dakika ya 24
Mzize anashambulia kwa kasi tunapata Kona hapa
Dakika ya 33
Yng 1 -0 Pmb
Dakika ya 38
Sureboy anacheza madhambi hapa
Dakika ya 41
Aziz k anakosa goli la wazi