Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama rahisi nawewe kagawe 😂😂😂I told you people.
Mambo ya Bahashaaaaa
Hawana akiliWachezaji wengine hawajitambui kwa kweli una kadi ya njano halafu unatandika reli refa hawezi kukuacha
lingekosaAngepiga Baleke aboost confidence.
Mtu unajiita sexy body utaelewa mambo ya sexy football? 🤣Mimi shabiki wa Yanga niko nashuhudia hapa upangajwi wa matokeo.red card ♦️ plus penati View attachment 3114393
Kama simba mnavyopanga matokeo na azamMimi shabiki wa Yanga niko nashuhudia hapa upangajwi wa matokeo.red card ♦️ plus penati View attachment 3114393
tena ya kakiMimi kama shabiki wa Yanga,
Naona refa anatupendelea sana kwenye hii mechi.
Bila mbeleko sisi sio kitu, Wachezaji wetu wanakata moto haraka.
Tunatakiwa tusajili vijana.
Vinginevyo hatutoboi bila bahasha.
Mwenye hauruki kijiji. Ikifika zamu yako utatuambia timu yako inadhaminiwa na nani.Jezi ya pamba watakayo vaa leo zingatia hapo kwenye mdhamin mimi ni Yanga ila hili swala sipendezwi nalo
Nb
Game itakua ya upande mmoja na makosa ya kibinadamu kwa baadhi ya wachezaji yatakua mengi
View attachment 3114141
yaan sikama zile 5 tulitembeza bahasha mpaka timu ikapoteanaMtafanya rafu halafu mnapewa red card na tutalitapigwa, chukueni kwanza hii bahasha
Wanajisahaulisha sanaKama simba mnavyopanga matokeo na azam