Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile mechi kila mchezaji wa utopolo alikuwa na hiriziyaan sikama zile 5 tulitembeza bahasha mpaka timu ikapoteana
Ni beebeKama rahisi nawewe kagawe 😂😂😂
Leo tunashuhudia upangajwi wa matokeo toka mpira wa Tanzania kuanzishwa kwako mimi shabiki wa yanga hainipendenzi kabsa hiiMwenye hauruki kijiji. Ikifika zamu yako utatuambia timu yako inadhaminiwa na nani.
🤣🤣🤣 unapiga kwenye mshono"Na mchezaji mwingine kipindi cha pili apate red card tena,tumewapa bahasha msimwingize George Mpole"
Bahasha zilianzia Zanzibar mechi dhidi ya Azam zikaja Dodoma mechi dhidi ya Dodoma Jiji sasa mnaanza kubweka kitu Gani? Twende ivyo ivyo mmelianzisha tutamaliza tuone nani ataibuka mwamba!"Na mchezaji mwingine kipindi cha pili apate red card tena,tumewapa bahasha msimwingize George Mpole"
Mimi shabiki wa yanga nikupe data kamili sisi yanga ndio tunaongoza kuifunga Azama kuliko simba huu upangajwi wa matokeo haijawahi kutokea kwa mimi mpenda sokaKama simba mnavyopanga matokeo na azam
Unategemea nini Pamba kwenye ujio wa hii mechi imebaki siku 2 wakaweka kwanza pembeni baadhi ya watu mhimu kwenye benchi la ufundi🤣🤣🤣 unapiga kwenye mshono
Na bahasha za Simba ni kichefuchefu kwa soka letuBahasha za Yanga ni aibu kwenye soka letu
Hadi kielewekeMwendo wa kukichafua!
View attachment 3114123
Huku kwetu Yanga wenye akili wako 2 tu RIP Tanzania football ⚽Mtu unajiita sexy body utaelewa mambo ya sexy football? 🤣
7_2Bahasha za Yanga ni aibu kwenye soka letu
Wale ambao hawataki mlungulaUnategemea nini Pamba kwenye ujio wa hii mechi imebaki siku 2 wakaweka kwanza pembeni baadhi ya watu mhimu kwenye benchi la ufundi
GSM 1 vs GSM 2 hii mechi ni kama bonanzaMimi shabiki wa yanga nikupe data kamili sisi yanga ndio tunaongoza kuifunga Azama kuliko simba huu upangajwi wa matokeo haijawahi kutokea kwa mimi mpenda sokaView attachment 3114401
Bahasha za Yanga ni aibu kwenye soka letu