Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeewaaaaa.Bado mbilii... Bado mbiliii... Bado mbiiliii...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tukianza kuwazodoa wanatupiga banKuna shida mahala...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji847][emoji847]
Kwa muendelezo, jana goli dakika ya 75, leo hivyo hivyoKama unapenda kubeti, utafute uzi mmoja nilionyesha jinsi magoli ya Simba na Yanga huwa yanafungwa muda unaofanana na wakati mwingine hata aina ya magoli pale mechi zao zinapofululiza pamoja.
Jana goli la kwanza la penati limefungwa dakika ya 42. Leo goli la kwanza la penati limefungwa dakika ya 45
Mzize kipindi Cha kwanza angekua vizuri, ungekuta ubao unasoma 5
Hata msimu uliopita waliponea chupu chupuMtibwa Sugar wajipange tu upya kwenye dirisha dogo la usajili. Hii timu yao ina mapungufu mengi. Na wasipofanya maboresho ya kutosha, basi wajiandae tu kushuka daraja.
Bado kuna michezo mingi mbele huenda tukashuudia mengine.Goli bora la msimu limeshapatikana
📌📌📌Musonda kafunga goli zuri sana
Wamelala wataedit hata keshoMods, Mods, Mods