Kile ni chuo cha mpira, subirini kesho mfundishwe mpira. Halafu hizi timu zilizoko mkiani zinajuaga kucheza na nyie sijui kwa niniHistoria ya Manungu, Turiani au?
Shida inaanzia hapaAnapigwa 5
Anhaa Nyampulukano ? Wasalimie sanaMtibwa Sukari piga hao Utopolo , Maskombiso Mashala adui wa yanga kutoka Nyampulukano Sengerema -Mwanza.
Skudu mechi zake za mwisho mwisho hizi kabla hajatolewa dirisha dogoKikosi cha Yanga dhidi ya Mtibwa sugarView attachment 2844168
Mh sijajua maana akitolewa si itakuwa wanamvunjia mkataba? Labda apelekwe kwa mkopo sehemu. Japo ni tetesi tu hizo za SkuduSkudu mechi zake za mwisho mwisho hizi kabla hajatolewa dirisha dogo
We unafikiri atakubali kutolewa kwa mkopo?Mh sijajua maana akitolewa si itakuwa wanamvunjia mkataba? Labda apelekwe kwa mkopo sehemu. Japo ni tetesi tu hizo za Skudu
Katika mechi 12 walizocheza; wameshinda mechi 1 wametoa sare mechi 2, na wamefungwa mechi 9!Mtibwa wasiingie tamaa ya fedha na mali