ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Imekuja hiiAndika Simba 5 vyura 0 zitakuja video..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekuja hiiAndika Simba 5 vyura 0 zitakuja video..
Wimbo wao ni ule ule na sauti zao ni zile zile krooooooo krooooooo 😂😂Vyura wakishapata wimbo ni kuimba tu. Kroooo krooooo kroooo.
Mechi 5 kati ya 6 mna CS moja. Hivi si ndiyo vitu mnavyopigiaga keleleSimba ilikutana na ihefu, yanga, namungo na asec zote hizo mliruhusu goli,,, kwa yanga unashangaa
Mechi 5 kati ya 6 mna CS moja. Hivi si ndiyo vitu mnavyopigiaga kelele
Leo wamefungwa mtibwa ila mimi furaha yangu imerudi kwenye zile 5imba za 5 nov,sijui ndio ulimbukeni wenyewe huu 😂Yani ni malimbukeni mnoo..ni ndoto waliyoota siku nyingi...
Mllicheza mechi 9 hakuna Clean SheetMechi 5 kati ya 6 mna CS moja. Hivi si ndiyo vitu mnavyopigiaga kelele
Bomu mochwari....😂😂Hiki tunachowafanyia Mtibwa ni ile inaitwa utatoa hutoi.
Ukiona mwarabu anashangilia kama mwehu ujue alikuwa na hali mbaya saaanaView attachment 2844340
Hauna hoja wewe tuliaaaaaaaaaaa
Makabati hukuona bloonaiona droo kwa mbaliii😥
Goli ni goli kakaUkiona mwarabu anashangilia kama mwehu ujue alikuwa na hali mbaya saaana
4 kwa 4 kakanaiona droo kwa mbaliii😥
Bomu mochwari....😂😂
Afadhari mtibwa wamegoma kupigwa [emoji2393]Bomu mochwari....[emoji23][emoji23]
Tunawasubiri. Wydad bila Yahya Jabrani ni sawa na kuvaa sidiria bila kuwa na titi. Njoo uone mwarabu akioga mvua ya magoli style ya kihoroya horoyaGoli ni goli kaka View attachment 2844346
Ushindi wa bahasha huo umeshachacha.Afadhari mtibwa wamegoma kupigwa [emoji2393]
Na wewe ulivokula 5 ulikuwa wa mochwariBomu mochwari....😂😂