mpira haujafika kwenye msitari var inahitajikaKivipi?
Kama unaona Ihefu wabovu leta timu yako
Azam maxHii mechi naweza kuangalizia kwenye simu kwa app ipi ndugu zanguni ?
Aliyewaondolea unbeaten si ndio mr wenuTatizo simba mna wivu sana hampendi kuletewa bimdogo
Wakulaumiwa kibendera sio sisi wapeleka moto 😂😂Goli gani hili nalo jamani!! aisee kazi ipo
Nanyie muwe mnamtuma spika au naibu spika.........Ziara ya Waziri wa Fedha kambi ya Ihefu hakika imelipa
Acha ushuzi baridiZiara ya Waziri wa Fedha kambi ya Ihefu hakika imelipa
Kwamba simba inacheza leoNani anaumiaaa thiiiiiiiiiimbaaaaaa
Pole. Mara inaisha kwa sare. Mara ya mipango,tushike lipi?. Nakuambia leo hii. Ukitaka uishi maisha marefu,acha kubana ma**ko kwa YANGA hii ikicheza jamaa yangu,utapasua.Hii mechi ilikuwa ya mipango, tunaojua tunajua ndiyo maana tuko kimya
Kwamba simba inacheza leo