FT: Yanga SC 5 - 0 Ihefu SC | NBC Premier League | Azam Complex | 11.03.2024

FT: Yanga SC 5 - 0 Ihefu SC | NBC Premier League | Azam Complex | 11.03.2024

Mwenzio anashinda tano wewe unaokoteza kwa ushindi wa bahati nasibu, mashabiki hadi wanamweza panadol.... sorry mbumbumbu ni timu ya Mwamedi, kwahiyo inashangaza maumivu wanapata wasio na timu
 
Nawaachaje sasa wenyewe humu? Nipo kuwapa kampani utopolo watani zetu..mm siko kideoni naona kupitia comments za wadau...
Mwambie admn wa Simba aawaaidi Wenzao wa 5G
 
Kuna watu wameingia wivu kuvunjiwa rekodi yao.
 
wakati Simba anatandikwa goli 5 mwigulu alikuwa pamoja na Simba Kambini?
Zile tano mlizokula nani alitembelea kambi yenu?
Vipi kuhusu hapa Mzee
mqdefault.jpg

DF44n0dXcAA_OZl.jpg
 
Pole. Mara inaisha kwa sare. Mara ya mipango,tushike lipi?. Nakuambia leo hii. Ukitaka uishi maisha marefu,acha kubana ma**ko kwa YANGA hii ikicheza jamaa yangu,utapasua.
Ila Deportivo de Utopolo mna roho ngumu sana. Yaani mmekaa kabisa mnashangilia matokeo haya?
 
Back
Top Bottom