FT: Yanga SC 5 - 0 Ihefu SC | NBC Premier League | Azam Complex | 11.03.2024

Mwenzio anashinda tano wewe unaokoteza kwa ushindi wa bahati nasibu, mashabiki hadi wanamweza panadol.... sorry mbumbumbu ni timu ya Mwamedi, kwahiyo inashangaza maumivu wanapata wasio na timu
 
Nawaachaje sasa wenyewe humu? Nipo kuwapa kampani utopolo watani zetu..mm siko kideoni naona kupitia comments za wadau...
Mwambie admn wa Simba aawaaidi Wenzao wa 5G
 
Kuna watu wameingia wivu kuvunjiwa rekodi yao.
 
Pole. Mara inaisha kwa sare. Mara ya mipango,tushike lipi?. Nakuambia leo hii. Ukitaka uishi maisha marefu,acha kubana ma**ko kwa YANGA hii ikicheza jamaa yangu,utapasua.
Ila Deportivo de Utopolo mna roho ngumu sana. Yaani mmekaa kabisa mnashangilia matokeo haya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…