pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Acha waendelee kuwa na matumaini la sivyo ligi itapoa sana
Yanga waendelee kushinda
Yanga waendelee kushinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ambayo uliyakimbia mpaka uliposikia mmeshinda?Ukisoma huu uzi ndio utajua vile Simba imejaza matikiti maji.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hakuna ushindi wa mbinde, naona roho zinavyowauma.Mapopoma mmerudi baada ya kushinda kwabinde sio? Fanyeni marekebisho kwenye kikosi chenu, mtalaumu watu bure tu.
Wewe una utani mbaya, Mwadui hana uwezo wa kuizuia Yanga. Muwe mnaangalia na timu za kushabikia.ambayo uliyakimbia mpaka uliposikia mmeshinda?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah hebu wasamehe hawajui walitendalo walizani yanga ni plateau efusiiiUkisoma huu uzi ndio utajua vile Simba imejaza matikiti maji.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Goal la tati ni clear offside.Hata goli la 2 ni offside
Tia maji Tia maji
Kwani uongo?Hizo Goli 2 ndani ya dakika 1 tungezipata simba..Tungebatizwa majina mengi..miamala Fc...etc.
kafunge lako la on sideHata goli la 2 ni offside
nenda na ww ukabebweRefa kawabeba sana yanga offsides za wazi kabisa.
Acha kubeti.Refa kawabeba sana yanga offsides za wazi kabisa.
Hujui sheria za mpira bwana mdogo(sic). Aliyetoa cross alishaua offside. msiwe mnaropokaGoal la tati ni clear offside.
Mkuu unaumia ukiwa pande zipi 😀Refa kazingua
Hapa hapa pa siku zote mkuuMkuu unaumia ukiwa pande zipi [emoji3]