Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
- Thread starter
-
- #341
Timu Zote Kumi Na Tano Ni Maduka Yetu Sijui Tulitumia Pesa Ngapi Kuyaanzisha.Mwana utopolo mwenzangu, unalionaje duka letu leo? (Kaseja)
Hadi kwako bahasha itataembea.
Pole kwa kutoamini ukianach
Why ufikirie hivyo homie?Hahahahaha pole sana, mkuu. Mayele anakuumiza sana.
Si muda utaitwa haterMayele kama timu haichezi ni nadra kumuona mara kwa mara
Ila goli likiingia unamwona.Mayele kama timu haichezi ni nadra kumuona mara kwa mara
Kwahiyo mkuu unataka umuone timu ikiwa haichezi??Mayele kama timu haichezi ni nadra kumuona mara kwa mara
Si naona mkuu hutaki kabisa Mayele atetemeWhy ufikirie hivyo homie?
Wanapiga nje...goal kick69' Yanga wanapata kona
NasubiriaSi muda utaitwa hater
Mayele Katengeneza Nafasi Zaidi Ya Mbili Chico Kashindwa Ku-score unataka Umuone Vipi Tena?Mayele kama timu haichezi ni nadra kumuona mara kwa mara
Sio kwamba sitaki atetemeSi naona mkuu hutaki kabisa Mayele ateteme
Hahaha tulia mkuu