Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Umesahau na za mkuu wa mkoaImethibitishwa....HFKMYTVJGRCBI81628 umepokea milioni 10 toka kwa Samia Suluhu Hassan
Msisahau nilishasema kabla....Bao ni 2-1 wakikoswakoswa basi ni 3-1
Young African WIN
Mkuu kwema [emoji112]Mamaaa aminaaaaaaa
Simba tumesha feel siku nyingi mbonaMashabiki wa Simba tutakoma
Mungu saidia Mazembe wachomoe na waongeze
Milioni 15 walichukua Raja jana🤣🤣Milioni kumi tayari jamani. Lol
Jumlisha na zile za mkuu wa mkoaMilioni kumi tayari jamani. Lol
Hapa napo tusingizie bahasha?
Yanga anajitahidi, sio upuuzi wa viongozi Simba?
Game Bado Mpira dakika 90Msisahau nilishasema kabla....