Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Huyo OKW BOBAN SUNZU anaomba Mayele asitie goli maana akitia huyo OKW ataendelea kuukimbia ule uzi wake wa battle kati ya Mayele na Kibu DKalpana OKW BOBAN SUNZU Ghazwat Bill Mtoto halali na hela Kambi ya Fisi Shunie Makiwendo Hello kwa Mkapa hatoki mtu...
TP Mazembe ni wazembe...
Kuvutia kabumbu[emoji3]Hivi kuna chemistry gani kati ya wakongo na breach?
Unateseka ukiwa katika mkao gani Makolokolo?Hawa rejects wa utopolo ndio wako Mazembe[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu wanashangilia kuwafunga🫣🫣🫣
Ya kwako bora ndo ile ilifundishwa mpira akiwa kwake hapo jana?Timu zote mbovu. Hii kweli ni shirikisho.
Usingizi unadhani utaupata basii[emoji23]Mgumba kapata mimba aisee mji mzima mate leo nitalala mapema sana[emoji51]
[emoji23]Jana mliamua kurudi kinyumenyume, hivi mnarudije kinyumenyume kwa waarab wakati mnajua tabia zao[emoji1787][emoji1787]
Atakuwa anatutangazia biashara in a around about wayHii sio mara moja kila kitu yeye anaahidi kuitwa shoga huyu jamaa FK21 achunguzwe mara moja..
Kwenye ligi ya uingereza kaahidi tena Man City akichukua aiywe shoga.
Bingwa wa Africa wa msimu upi? Msimu uliopita bingwa alikuwa Wydad Casablanca na wala hakuwa Raja.Mimi nakutana na bingwa wa Afrika wewe unakutana na loser mwenzio, tofauti kubwa kama mbingu na ardhi[emoji1322][emoji1322]
Wee bwan molel Muda was kubishana huku unatoa wapi kamalize Kwanza ile story yako kule Kisha uje hukuUmekula tatu bila kwa mkapa. Tulia. Acha ngongongo nyiiiiiiingi. Umepigwa, tulia.
Walikupiga 4 o'clock hawaTimu zote mbovu. Hii kweli ni shirikisho.
Ile ni mbovu ila na hii ni mbovu huo ndio ukweli.Ya kwako bora ndo ile ilifundishwa mpira akiwa kwake hapo jana?
Mikimbio mizuri sana huoni wachezaji wamechoka?Nazani umeiona mikimbio.. kolo wewe
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my Nokia C21 Plus using JamiiForums mobile app
Tp mazembe timu BHii sio Mazembe
Ni kikundi cha wanamuziki wa Kikongo.
Itakuwa ni jambo kubwa la kizalendoSimba msijali siku tukija kukutana na raja Casablanca tutawalipizia kisasi ndugu zetu
Baadae turudi kwenye takwimu za Musonda na BalekeSub kwa Mazembe dakika ya 34 anaingia mkoko tonombe