Ila naona ngumi zitawaka hapa, tatizo watu wengi wanachochea moto mke akaliwe... Kuna mashabiki wa Yanga wengi mno na wa Simba, ngoja lazima moto utawaka ha haaaa, ila akimuacha mke wake ndio aibu hatarudia tena ku bet hadi mke..
Leo mke lazima akachapwe ndio atakoma kuweka dharau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…